Thursday, August 23, 2018

 Miongoni mwa faida kubwa za elimu ni kuwafanya watu wawe  huru wa epukane na utumwa sasa je jiulize kwa nini inaonesha kuwa wanafunzi wengi wanavyozidi kupata elimu kubwa zaidi ndo wanazidi kuwa kama wajinga wanatembea uchi hasa wasichana  nawausia wanachuoni Tubadilike kwani nchi nyingi zinatemea cleam from university↔↕↫

No comments:

Post a Comment

vichwa vinaendelea kuuma kwa nn wanafunzi wa zama hizi wanafeli sana hali yakuwa wanasoma kwa viwango bora kuliko ilivyokuwa awali ?