KARIBUNI KATIKA JUKWAA LA ELIMU WADAU WOTE MNAKARIBISHWA
Ni elimu pekee kama ikitumika vizuri itamuwezesha mtu kuongeza ufanisi ktk utendaji na pia itamkomboa kutokana na utumwa hivyo atakuwa huru
Friday, August 31, 2018
Thursday, August 23, 2018
Miongoni mwa faida kubwa za elimu ni kuwafanya watu wawe huru wa epukane na utumwa sasa je jiulize kwa nini inaonesha kuwa wanafunzi wengi wanavyozidi kupata elimu kubwa zaidi ndo wanazidi kuwa kama wajinga wanatembea uchi hasa wasichana nawausia wanachuoni Tubadilike kwani nchi nyingi zinatemea cleam from university↔↕↫
Saturday, August 18, 2018
Wednesday, August 15, 2018
Lazima tukubali kuwa jambo lolote lile kabla ya kulifanya inapaswa kuwa na elimu nalo hili jambo limedhibiti hata enzi za mitume a.s ,sasa tunashangaa kuona namna watu wanavyo ingia ktk mambo mbalimbali bila kuwa na elimu nayo mfano watu baada tu yakupata pesa wanafikilia kuingia kwenya ndoa bila ya kuwa na elimu nayo na jambo hili linapelekea ndoa nyingi kuvunjika kwa muda mfupi .Hivyo tunawakumbusha wazazi kaeni na vijana wenu muwape elimu juu ya ndoa
Saturday, August 11, 2018
Thursday, August 9, 2018
Habari ndgu watanzania nn kinapaswa kufanyika ktk mitaala ya elimu tanzania kumbuka hapo mwanzo tulikua tunasoma ili kuajiliwa ambalo hilo jambo sasa linapaswa kufutika ktk vichwa vya watanzia kwani kutokana na jambo yameonekana mambo mengi kwa wasomi weng wa nchi kushindwa kuendesha maisha baada ya kutoka vyuoni
Wednesday, August 8, 2018
Tuesday, August 7, 2018
HABARI ZA KIELIMU
Habar ndgu zangu napenda kuwaalika katika fikra mbalimbali za namna gani mwanafunzi anaweza kutimiza ndoto zake za kimasomo, kumbuka mchango ni muhim sana ktk ustawi wa elimu tanzania
Subscribe to:
Posts (Atom)
vichwa vinaendelea kuuma kwa nn wanafunzi wa zama hizi wanafeli sana hali yakuwa wanasoma kwa viwango bora kuliko ilivyokuwa awali ?
-
Habar ndgu zangu napenda kuwaalika katika fikra mbalimbali za namna gani mwanafunzi anaweza kutimiza ndoto zake za kimasomo, kumbuka mchango...
