KASUNZU@EDUCATIONNETWORKS
Sunday, September 23, 2018
Saturday, September 8, 2018
Tuesday, September 4, 2018
Friday, August 31, 2018
Thursday, August 23, 2018
Miongoni mwa faida kubwa za elimu ni kuwafanya watu wawe huru wa epukane na utumwa sasa je jiulize kwa nini inaonesha kuwa wanafunzi wengi wanavyozidi kupata elimu kubwa zaidi ndo wanazidi kuwa kama wajinga wanatembea uchi hasa wasichana nawausia wanachuoni Tubadilike kwani nchi nyingi zinatemea cleam from university↔↕↫
Saturday, August 18, 2018
Wednesday, August 15, 2018
Lazima tukubali kuwa jambo lolote lile kabla ya kulifanya inapaswa kuwa na elimu nalo hili jambo limedhibiti hata enzi za mitume a.s ,sasa tunashangaa kuona namna watu wanavyo ingia ktk mambo mbalimbali bila kuwa na elimu nayo mfano watu baada tu yakupata pesa wanafikilia kuingia kwenya ndoa bila ya kuwa na elimu nayo na jambo hili linapelekea ndoa nyingi kuvunjika kwa muda mfupi .Hivyo tunawakumbusha wazazi kaeni na vijana wenu muwape elimu juu ya ndoa
Subscribe to:
Posts (Atom)
vichwa vinaendelea kuuma kwa nn wanafunzi wa zama hizi wanafeli sana hali yakuwa wanasoma kwa viwango bora kuliko ilivyokuwa awali ?
-
Habar ndgu zangu napenda kuwaalika katika fikra mbalimbali za namna gani mwanafunzi anaweza kutimiza ndoto zake za kimasomo, kumbuka mchango...
